Skip to main content
Skip to main content

Wafanya biashara ndogo ndogo na za kadri wapokea mafunzo

  • | KBC Video
    81 views
    Duration: 2:29
    Wafanya biashara ndogo ndogo na za kadri wamepokea mafunzo chini ya mitaala 12 yanayokusudiwa kuimarisha biashara, uzalishaji na ushindani. Katibu wa biashara ndogo ndogo na za kadri, Susan Mang’eni, amesema mpango huo unaziwezesha biashara kupata fursa mpya na kukua na vile vile kuimarisha uchumi wa nchi hii. Habari zaidi ni kwenye mkusanyiko ufuatano wa habari za biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive