Skip to main content
Skip to main content

Wafanyakazi wa kaunti ya Machakos watia saini mikataba ya utendakazi

  • | Citizen TV
    128 views
    Duration: 47s
    Gavana wa Kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti amesisitiza kujitolea kwa serikali ya kaunti katika uwajibikaji, utendakazi, na kuboresha mchakato wa utoaji wa huduma kwa umma.