Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa Saghalla Taita Taveta wameanza kukumbatia kilimo cha Makonge

  • | Citizen TV
    246 views
    Duration: 3:13
    Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, wakulima eneo la Saghalla kaunti ya Taita Taveta wameanza kukumbatia kilimo cha Makonge. Wakulima wakisema kilimo hicho kimewaondolea hasara inayotokana na kiangazi ambapo sasa ukuzaji wa mahindi umekuwa vigumu katika siku za hivi karibuni