Skip to main content
Skip to main content

Wanawake wenye ulemavu walalamika kaunti ya Kwale

  • | Citizen TV
    101 views
    Duration: 1:41
    Wanawake wenye ulemavu katika kaunti ya Kwale wameitaka serikali ya kaunti na ya kitaifa kuhakikisha wanajumuishwa kwenye sekta ya afya kwa kuwaajiri baadhi yao kama wahudumu wa afya nyanjani