Skip to main content
Skip to main content

Kindiki awataka Wakenya kuwapuuza viongozi watenganishi

  • | KBC Video
    75 views
    Duration: 1:40
    Naibu Rais, Profesa. Kithure Kindiki, ametoa wito kwa Wakenya kudumisha umoja hata wakati viongozi wao wa kisiasa wanapoonekana kuchochea mgawanyiko. Akigusia matamshi ya Gavana wa Nyeri, Mutahi Kahiga, kuhusu kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, Kindiki pia aliwaonya wanasiasa dhidi ya kutoa matamshi yanayoweza kuchochea chuki za kikabila. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive