- 7,906 viewsDuration: 38sMtoto wa sokwe aliyezuiliwa mwaka jana katika uwanja wa ndege wa Istanbul nchini Uturuki wakati walanguzi walipojaribu kumsafirisha kutoka Nigeria kwenda Istanbul, huenda akarejeshwa nyumbani kwao hivi karibuni. - Sokwe huyo anayeitwa Zeytin amekuwa akitunzwa katika Bustani ya Wanyama ya Polonezkoy, ameongezeka uzito na urefu tangu alipopatikana mwezi Desemba. #bbcswahili #uturuki #istanbul Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw