Skip to main content
Skip to main content

Serikali yakiri watoto wamefariki kufuatia mgomo wa madaktari Kiambu

  • | KBC Video
    278 views
    Duration: 3:23
    Waziri wa afya, Aden Duale, amekiri kuwa watoto kadha walifariki kutokana na mgomo wa madaktari katika Kaunti ya Kiambu. Duale anatoa wito kwa serikali ya kaunti kushughulikia mallamishi ya madaktari wanaogoma. Na huku, Gavana Kimani Wamatangi akihusisha mgomo huo na wapinzani wake wa kisiasa, chama cha madaktari kimetishia kupanua mgomo huo kuwa wa kitaifa ili kutetea maslahi ya wanachama wake kote nchini. Kamche Menza na taarifa kamili. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive