Skip to main content
Skip to main content

Miaka mitatu ya Ruto: Safari tata ya UHC, ahadi na kashfa

  • | Citizen TV
    870 views
    Duration: 2:57
    Serikali ya Kenya Kwanza iliingia mamlakani huku ikiwa imetoa ahadi kadhaa kwa wananchi, ikiwemo utekelezaji wa huduma za afya kwa wote. Miaka mitatu baadaye, serikali ya Rais William Ruto inakabiliana na changamoto za utekelezaji wa Mamlaka ya Afya ya Kijamii, inayosimamia hazina ya afya ya umma nchini.