Skip to main content
Skip to main content

Mpina akutana na kizingiti kingine Tanzania

  • | BBC Swahili
    12,311 views
    Duration: 4:49
    Chama cha ACT Wazalendo kimesema uamuzi wa Tume ya Uchaguzi ya Tanzania wa kumuengua mgombea wake wa kiti cha urais Luhaga Joelson Mpina, haukuzingatia misingi ya sheria, hivyo chama hicho hakikutendewa haki. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw