Skip to main content
Skip to main content

Wakulima katika kaunti ya Migori watakiwa kujiunga na vyama vya ushirika

  • | Citizen TV
    185 views
    Duration: 2:10
    Serikali ya Kaunti ya Migori, kwa ushirikiano na Mradi wa Kitaifa wa Kukuza Thamani ya Kilimo (NAVCDP), inakuza uzalishaji katuika sekta ya kilimo kwa kusaidia shirika la wakulima kupitia ruzuku.