Makundi ya vijana yamelalamika pembeni ya mkutano wa Umoja wa Mataifa wa hali ya hewa uliofikia siku yake ya mwisho huko Baku, Aberzaijan, Ijumaa wakitoa wito wa kuheshimiwa haki za binadamu kote duniani.
Geogina Kerubo wa kundi la Global Young Green anasema ni jukumu lao kama wanaharakati kuwaelimisha watu juu ya masuala ambayo ni muhimu yanayowahusu.
Maandamano yamefanyika wakati wajumbe wamekuwa wakijadili pendekezo kutoka nchi zilizoendelea kuongeza kiwango cha kugharimia athari za mabadiliko ya hali ya hewa kufikia dola bilioni 250 kutoka bilioni 100.
Hata hivyo mataifa yanayoendelea wanasema kiwango hicho hakitoshi wakati wanahitaji hivi sasa dola trilioni 1.3 kugharimia athari hizo kufikia 2035. - AP
#cop29 #azerbaijan #fossilfuels #voaafrica #lobbyists #maandamano #voa #voaswahili
20 Apr 2025
- A 3-year-old boy was found dead in Wich-Lum area, Siaya County on Saturday evening. The toddler is suspected to have been murdered by his father following a domestic squabble.
20 Apr 2025
- At least 11 people, including three children, were killed in New Delhi Saturday after a residential building collapsed on the outskirts of the Indian capital, local reports and authorities said.
20 Apr 2025
- The US Supreme Court, in a dramatic nighttime intervention Saturday, blocked President Donald Trump's unprecedented use of an obscure law to deport Venezuelan migrants without due process.
20 Apr 2025
- Pope Francis is expected to delight Catholics all over the world during Easter celebrations at the Vatican on Sunday, just weeks after he was fighting for his life in hospital while suffering from pneumonia.
20 Apr 2025
- Global tax plans targeting billionaires and multinational companies are running aground, with the United States torpedoing reforms under President Donald Trump.
20 Apr 2025
- The Christian Easter season reminds us of the elusive search for the ideal universe. Ultimately, it is a universe that holds society in sacred esteem.