- 258 viewsKatika eneo linalopambana na changamoto za afya na kukumbwa na vita, waandishi wa kubaini habari za uongo katika jarida la Eleza ukweli mjini Goma, DRC, wanatafuta habari za ukweli kuhusu fikra zinazoambatana na ugonjwa mpox ambao awali ulikuwa unajulikana kama ugonjwa kutoka kwa nyani. Habari za uongo zinasema kwamba ugonjwa huo haupo kabisa na kwamba yanayosemwa ni upele tu ambao hauna madhara. Aline Kataliko anasema kazi yao ni muhimu sana kwa afya ya umma na katika kujenga imani katika jamii. Aline Kataliko wa Eleza Fact: 'Kuna uvumi kuhusu mpox, unaosema kwamba lengo la chanjo ni kuondoa kizazi cha raia wa Congo. Tunaangazia hatari za uvumi huo na namna unavyoweza kuathiri jamii yote kwa jumla na kuzuia juhudi za kumaliza maambukizi." Tangu mwaka 2021, waandishi wa habari 25 katika jarida la Eleza ukweli, akiwemo Joel Alimasi Kitambala, wamekuwa wakiangazia na kueneza habari kuhusu hatari za habari potofu. Joel Alimasi Kitambala ni mwandishi wa habari katika Eleza Ukweli. Joel Alimasi Kitambala wa Eleza Fact: Kutambua ukweli, tunatumia maneno muhimu na kila wakati kuna chapisho ambalo lina maneno hayo, tunapata taarifa kuhusu chapisho hilo. Kama kuna hja ya kuchambua jarida hilo, waandishi wa kutafuta ukweli wanapewa jukumu wanaolifanyia kazi. Makala yanayochapishwa na Eleza ukweli, yanachapishwa kwenye wavuti, na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kutangazwa kwenye vituo vya radio ili kuwafikia wale wasiotumia internet. #habaripotofu #drc #goma #waandishi #voa #voaswahili
Waandishi wakabiliana na habari potofu kuhusu chanjo kuondoa kizazi na athari kwa jamii
- - Duniani Leo ››
- - 2025 SOYA Awards ››
- 19 Apr 2025 - Rwanda has agreed to allow troops deployed by the Southern Africa bloc to fight rebels in eastern Democratic Republic of Congo to evacuate from the rebel-held city of Goma through its territory to Tanzania, three diplomatic sources said on Friday.
- 19 Apr 2025 - Gold, which traders have been flying to New York since December as a precaution against the possibility of broad U.S. tariffs hitting bullion imports, is being shipped back to Switzerland, where it came from, official data shows.
- 19 Apr 2025 - Criminals dressed in fake military uniforms opened fire on spectators at a cockfight in rural Ecuador, killing 12 unarmed people and wounding several others, police in the violence-plagued South American nation said Friday. Security footage of Thursday…
- 19 Apr 2025 - US President Donald Trump has been pressing Moscow and Kyiv to agree to a truce, but has failed to extract any major concessions from the Kremlin, despite repeated negotiations between his administration and Russia on the three-year war.
- 19 Apr 2025 - Gunmen have killed 17 people in Nigeria’s central state of Benue, police said Friday, the latest flare-up of intercommunal violence to hit the region in recent weeks. Police spokeswoman Anene Sewuese Catherine said in a statement that they had received…
- 19 Apr 2025 - Banks and gas stations that had gone on strike in Mali called off their action on Friday after reaching an agreement with the junta, the union and the government said. The National Union of Banks, Insurance Companies, Financial Institutions, Retailers,…
- 19 Apr 2025 - Tanzania’s main opposition party said on Friday it could not establish the whereabouts of its leader, Tundu Lissu, after he was moved from a jail where he was being held following his arrest on treason charges last week. Senior CHADEMA party officials,…
- 19 Apr 2025 - The former deputy governor who once pocketed thousands of shillings now barely makes Ksh200 a day.
- 19 Apr 2025 - Low-key Good Friday amid tough economic times, churches call for action on corruption
- 19 Apr 2025 - Governor urges MPs to let counties control roads levy fund