- 160 views"Mjini Kinshasa, ninapoishi, nimegundua kwamba kuna hali ya kutojali kuhusu raia kupambana na virusi vya Corona kwa sababu watu wengi hawaamini kwamba kuna ugonjwa huo idadi kubwa ya watu wasioamini kwamba kuna ugonjwa ni wale wanaoishi nje ya mji," J. Kazimoto. Naye Daniel Makeke ni mhariri. Anasema juhudi hizo ni muhimu katika kupambana na habari potofu. Vituo vya radio vinategemea podcasts ili kueneza taarifa kuhusu magonjwa na majanga, namna ya kupata tiba, ukweli kuhusu tiba na chanzo cha monkeypox, miongoni mwa mengine. Kwa namna hiyo, tunaweza hata kuwafikia watu wasiokuwa na uwezo wa mtandao wa kidijitali ambao wanafaidika na kazi yetu ya kutafuta ukweli. Makeke anasema juhudi za Eleza ukweli zinasaidia kuzuia kusambaa kwa habari za uongo kuhusu magonjwa kusambaa, zinazoweza kuwa hatari kwa afya. Mwandishi wa habari Zanem Nety Zaidi ameandaa ripoti hii kutoka Goma, DRC. #habaripotofu #drc #goma #waandishi #voa #voaswahili #covid19 #mpox #virusi
Waandishi wajituma kuufahamisha umma kuhusu habari potofu za Mpox, COVID-19
- 12 Mar 2025 - The Commission for University Education has flagged 15 institutions for operating illegally in Kenya.
- 12 Mar 2025 - An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
- 12 Mar 2025 - Patrick Kagunda Karanja, who appeared before High Court Judge Justice Florence Muchemi, is accused of murdering Francis Gichini on February 3, 2025, in the Gatundu South Sub-county.
- 12 Mar 2025 - The European Union will impose counter tariffs on 26 billion euros ($28.33 billion) worth of U.S. goods from next month in response to U.S. tariffs on steel and aluminium.
- 12 Mar 2025 - Chapati making machine is a tool to make quick chapatis without using a rolling pin and board.
- 12 Mar 2025 - Insiders say the changes are expected by Friday this week.
- 12 Mar 2025 - Kaetuai was killed in a confrontation with gangs in Port-au-Prince on February 23.
- 12 Mar 2025 - Angola said on Tuesday it would attempt to broker direct talks between Democratic Republic of Congo and Rwanda-backed M23 rebels in the coming days.
- 12 Mar 2025 - The vocal MP gave Sakaja a dress-down following his recent comments during President Ruto's tour of Nairobi.
- » Murang’a family wants gov’t to intervene after Vietnam sentences daughter to death for cocaine trafficking12 Mar 2025 - A family in Karikwe village in Kiharu, Murang’a County, is pleading with the Kenyan government to intervene after their daughter, Margaret Nduta Macharia, was sentenced to death in Vietnam for drug trafficking.