- 411 viewsGhana inakabiliwa na wimbi la taarifa potofu zenye madhara. Baadhi ya waandishi wa habari wana matumaini ya kukabiliana na hali hiyo kwa kutoa ripoti sahihi. Mradi wa Media Foundation for West Africa Kwaku Asante anaongoza timu ya waandishi wa habari wa kuhakiki ukweli, Fact-Check Ghana, mradi wa Media Foundation for West Africa, wenye makao yake katika mji mkuu, Accra. Timu hiyo ina kazi ngumu ya kupambana na habari potofu na upotoshaji kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya kawaida. Asante anasema yeye na wanahabari wenzake wana kazi kubwa ya kufanya kuhusu changamoto hiyo. Kiongozi wa Timu ya Fact Check Kwaku Asante, kiongozi wa timu ya Fact Check Ghana anasema: “Kuna taarifa nyingi potofu huko nje. Ukiamka asubuhi unakuta kuna mambo mengi yanayoulizwa. Je, unaweza kuliangalia hili kwa ajili yetu? Je, hizi ni taarifa sahihi? Je, hii ni kweli? Kuna yeyote wa kutusaidia? Kisha tunafika na kusema, “ndiyo, tumeichunguza. Huu ndio ukweli. Hii si sahihi, na hii ni taarifa sahihi.” Kuhakiki ukweli, ni kazi ambayo Asante anaipenda, kwa miaka mitano iliyopita, alifanya kazi kuwajuza raia wa Ghana na taarifa sahihi. Kwaku Asante, kiongozi wa timu ya Fact-Check Ghana asema: “Inanipa furaha kubwa kujua kwamba unafanya kitu ambacho kinaleta matokeo mazuri na ushawishi wa moja kwa moja kwa watu, kwa sababu habari za uongo zinaweza kuwa na athari mbaya sana, tizama kipindi cha Covid 19 ambapo kulikuwa na mtiririko wa habari za uongo.” Ripoti ya Isaac Kaledzi, VOA, Accra, Ghana. #ghana #factcheck #factchecking #voa #uchunguzi #uhakiki #habaripotofu #accra #waandishi
Ghana yakabiliwa na wimbi la taarifa potofu zenye madhara
- - 2025 SOYA Awards ››
- - 🔴 LIVE || TV47 ››
- 19 Apr 2025 - Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
- 19 Apr 2025 - Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
- 19 Apr 2025 - Top county officials summoned in waste firm deal
- 19 Apr 2025 - A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
- 19 Apr 2025 - Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
- 19 Apr 2025 - After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
- 18 Apr 2025 - Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
- 18 Apr 2025 - Managing leg disorders in broiler chickens
- 18 Apr 2025 - Gas blast kills two, injures several in Embakasi South
- 18 Apr 2025 - Chaos erupted at the Kitale Museum on Friday afternoon as a modelling competition was violently disrupted by over 50 armed youths.