- 578 viewsMwanafunzi wa Chuo Kikuu Mwanafunzi wa chuo kikuu Portia Fafali Gedza anatambua vyema kuhusu athari ya habari za uongo kwenye WhatsApp kuhusu Makamu wa Rais wa Ghana Mahamadu Bawumia kwamba alikuwa anatoa pesa taslimu. Portia Fafali Gedza, mwanafunzi wa chuo kikuu anasema: “Mtu mmoja alinitumia kiungo cha taarifa kwamba Bawumia anagawa pesa. Nilibofya tu kwenye kiungo hicho, nikapitia mchakato wote, na ilifika mahali ambapo ilibidi nisambaze habari hiyo kwenye WhatsApp. Niliisambaza, na mwisho wa siku, sikutapa pesa. Kuna mtu alikuja kuniambia kwamba hizi habari ni za uongo, kwa hiyo nisingewaamini. Kwa sababu fikiria muda nilitumia kusambaza viungo hivyo, sikuweza kufanya chochote, na hivo, nilikuwa natumia bundle zangu, nilikuwa nasambaza kitu ambacho ni uzushi. Nilipata aibu.” Ripoti ya Isaac Kaledzi, VOA, Accra, Ghana. #ghana #voa #uchunguzi #uhakiki #habaripotofu #accra #waandishi #mwanafunzi #chuokikuu
Mwanafunzi asema alipata hasara na aibu baada ya kusambaza uzushi
- - 2025 SOYA Awards ››
- - 🔴 LIVE || TV47 ››
- 19 Apr 2025 - Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
- 19 Apr 2025 - Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
- 19 Apr 2025 - Top county officials summoned in waste firm deal
- 19 Apr 2025 - A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
- 19 Apr 2025 - Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
- 19 Apr 2025 - After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
- 18 Apr 2025 - Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
- 18 Apr 2025 - Gas blast kills two, injures several in Embakasi South
- 18 Apr 2025 - Managing leg disorders in broiler chickens
- 18 Apr 2025 - Chaos erupted at the Kitale Museum on Friday afternoon as a modelling competition was violently disrupted by over 50 armed youths.