Uwekezaji katika teknolojia unahitajika kuweza kuzuia upotoshaji, uongo
Pamoja na kuenea kwa taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii, Armando Nhantumbo mwandishi wa habari wa Msumbiji wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) anasema uwekezaji katika teknolojia unahitajika kwenye vyumba vya habari kuelekeza wanahabari jinsi ya kukabiliana na upotoshaji pamoja na habari za uongo.
(Armando Nhantumbo wa Media Institute of Southern Africa anaeleza:
“Shukrani kwa teknolojia, tunapata taarifa zaidi, na tunaweza kushiriki zaidi na zaidi katika masuala ya utawala ambayo ilikuwa ngumu miaka 30 iliyopita. Kinachotokea ni pamoja na faida hizi, lakini kuna hasara pia. Mojawapo ya ubaya ni kutoijua habari.”
MISA Msumbiji inatoa huduma za kuangalia ukweli na kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari, Nhantumbo anasema.
Armando Nhantumbo, Media Institute of Southern Africa anasema:
“Kuna vyombo vya kidijitali vinavyotusaidia kufanya hili na sisi MISA Msumbiji tumekuwa tukiandaa mafunzo kwa wanafunzi wa uandishi wa habari, waandishi wa habari na mashirika ya kiraia juu ya jinsi ya kutumia majukwaa haya.”
Kwa vile jamii inategemea zaidi mitandao ya kijamii kwa habari, watetezi wa vyombo vya habari wanasema kazi kama ya Evidencias na MISA Msumbiji itakuwa chombo chenye nguvu katika kuhabarisha umma kwa usahihi na uwazi.
#MISA #KusinimwaAfrika #msumbiji #maputo #waandishi #armandonhantumbo #mediainstituofsouthafrica #voa #voaswahili #habaripotofu #upotoshaji #voa #voaswahili
18 Apr 2025
- The project had been ongoing for ten years.
18 Apr 2025
- The man is currently without his own home and is depending on others for housing.
18 Apr 2025
- The Kenya Met boss also listed counties that would experience very cold nights.
19 Apr 2025
- Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
19 Apr 2025
- Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
19 Apr 2025
- Top county officials summoned in waste firm deal
19 Apr 2025
- A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
19 Apr 2025
- Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
19 Apr 2025
- After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
18 Apr 2025
- Gas blast kills two, injures several in Embakasi South
18 Apr 2025
- Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
18 Apr 2025
- Managing leg disorders in broiler chickens
18 Apr 2025
- Chaos erupted at the Kitale Museum on Friday afternoon as a modelling competition was violently disrupted by over 50 armed youths.