- 422 viewsRaia wa Cameroon watapiga kura mwaka ujao kumchagua rais kwa muhula mwingine wa miaka saba. Chaguzi za awali katika taifa hili la Afrika ya Kati zilikumbwa na taarifa potofu ambazo zilichochea machafuko kwenye mitandao ya kijamii. Sasa, waandishi wa habari na wataalamu wa vyombo vya habari wanasema wanachukua hatua za mapema ili kuzuia kurudiwa kwa masuala haya. Amboh Vanessalizzy, mtayarishaji wa Maudhui huko Buea, alikuwa akipitia mitandao ya kijamii wakati habari zilipoibuka kuwa rais wa Cameroon, Paul Biya, amefariki. Bila njia yoyote ya uthibitisho, alisubiri mawasiliano rasmi hadi serikali ilipotoa taarifa ya kukanusha uvumi wa kifo cha Rais kama ndoto tu Amboh Vanessalizzy, Mtengenezaji Maudhui asema:Kwa kadiri tunavyotaka mabadiliko, simuombei kifo mtu yeyote. Taarifa potofu kama zile zinazomhusu rais zinaweza kuwa za mara kwa mara, hasa wakati wananchi wa Cameroon wakielekea kwenye uchaguzi mwaka ujao. Batata Boris-Kaloff]], Meneja wa Kituo cha CBS Buea aeleza: "Tayari ninajitayarisha kukabiliana na taarifa potofu za uchaguzi ambazo zinaweza kuja. Uwe na uhakika, huko Buea, kuna wanasiasa na kutakuwa na mijadala kuhusu miradi hapa na pale." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA. #cameroon #waandishi #habaripotofu #chaguzi #ghasia #voaswahili
Waandishi wanamatumaini ya kukabiliana na habari potofu
- - 2025 SOYA Awards ››
- - 🔴 LIVE || TV47 ››
- 19 Apr 2025 - Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
- 19 Apr 2025 - Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
- 19 Apr 2025 - Top county officials summoned in waste firm deal
- 19 Apr 2025 - A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
- 19 Apr 2025 - Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
- 19 Apr 2025 - After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
- 18 Apr 2025 - Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
- 18 Apr 2025 - Managing leg disorders in broiler chickens
- 18 Apr 2025 - Gas blast kills two, injures several in Embakasi South
- 18 Apr 2025 - Chaos erupted at the Kitale Museum on Friday afternoon as a modelling competition was violently disrupted by over 50 armed youths.