Moto wa msituni uliyoleta maafa umewaacha maelfu bila ya makaazi
Moto wa msituni uliendelea kuwaka katika eneo lote la kifahari la Los Angeles Januari 7, na kuharibu nyumba na kusababisha msongamano wa magari barabarani wakati watu 30,000 walipokuwa wakiondoka huku wamefunikwa na moshi mkubwa ambao uko katika sehemu kubwa ya mji huo.
Ekari zisizopungua 1,262 za eneo la Pacific Palisades lililoko kati ya Santa Monica na Malibu liliungua, maafisa walisema, baada ya kuwa tayari wametahadharisha kuwepo moto wenye hatari kubwa kutokana na upepo wenye nguvu uliokuwa ukipiga eneo hilo kutokana na kipindi cha hali ya hewa yenye mimea iliyokauka.
Moto huo ulienea kwa kasi kwa kipindi cha saa chache wakati maafisa wakitahadharisha kuwepo hali ya upepo mkali iliyotarajiwa kutokea usiku kucha, ikipelekea wasiwasi kuwa maeneo jirani mengi zaidi yangeweza kulazimika kukimbia maeneo yao.
#marekani #la #wildfires #voaswahili #santamonica #malibu #makazi #california #losangeles
12 Mar 2025
- The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows
12 Mar 2025
- The vice has led to losses by farmers in the region of billions of shillings.
12 Mar 2025
- Several people were injured during the fracas that followed Ruto's development tour.
12 Mar 2025
- Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
12 Mar 2025
- Atandi will be deputized by Dr. Robert Pukose following a hotly contested but decisive election.
12 Mar 2025
- The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
12 Mar 2025
- The Commission for University Education has flagged 15 institutions for operating illegally in Kenya.
12 Mar 2025
- An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
12 Mar 2025
- The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows
12 Mar 2025
- The vice has led to losses by farmers in the region of billions of shillings.
12 Mar 2025
- WW now uses his ordeal to raise awareness on male-victim violence
12 Mar 2025
- There are more males who read newspapers as compared to females.
12 Mar 2025
- The board said those flouting the law will face sanctions.