Uongozi mpya wa CHADEMA waagizwa kuunda haraka Tume ya Ukweli na Upatanishi
Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe ameutaka uongozi mpya kuunda tume ya ukweli na upatanishi ili kurudisha umoja ndani ya chama hicho uliopotea wakati wa kampuni.
Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.
Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lisu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.
Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.
#uchaguzi #chadema #mwenyekiti #makamu #tundulissu #freemanmbowe #voa #voaswahili
12 Mar 2025
- The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows
12 Mar 2025
- The vice has led to losses by farmers in the region of billions of shillings.
12 Mar 2025
- Several people were injured during the fracas that followed Ruto's development tour.
12 Mar 2025
- Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
12 Mar 2025
- Atandi will be deputized by Dr. Robert Pukose following a hotly contested but decisive election.
12 Mar 2025
- The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
12 Mar 2025
- The Commission for University Education has flagged 15 institutions for operating illegally in Kenya.
12 Mar 2025
- An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
12 Mar 2025
- The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows
12 Mar 2025
- The vice has led to losses by farmers in the region of billions of shillings.
12 Mar 2025
- WW now uses his ordeal to raise awareness on male-victim violence
12 Mar 2025
- There are more males who read newspapers as compared to females.
12 Mar 2025
- The board said those flouting the law will face sanctions.