Skip to main content
Skip to main content

Watu sita wa familia moja wafariki baada ya gari walilokua wanasafiria kutumbukia mtoni Murang’a

  • | Citizen TV
    5,719 views
    Duration: 3:04
    Watu sita wa familia moja wamefariki kufuatia ajali iliyotokea baada ya gari walimokuwa wakisafiria kutumbukia ndani ya Mto Kiama kaunti ya Murang’a. Familia hiyo ilikuwa ikirejea nyumbani kutoka sherehe ya kulipa mahari maeneo ya Kiambu. Ajali hiyo inafikisha idadi ya waliofariki kwenye barabara katika kipindi cha saa ishirini na nne pekee kufikia watu 12.