- 86 views
Serikali sasa itakopa jumla ya bilioni mia nane sitini na moja huku ikihofiwa kuwa kiwango hicho kitafika shilingi trilioni moja katika mwaka huu wa kifedha kufuatia nia ya serikali ya kulipa madeni ya wakandarasi, pia hofu hiyo inatokana na ushuru uliolengwa kupunguzwa kwa shilingi bilioni tisini na tatu. KRA katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa kifedha imekosa kuafikia malengo yake kwa shilingi bilioni thelathini na saba, ambayo vilevile imepelekea kupunguzwa kwa makadirio ya bajeti ya mwaka ujao wa kifedha.
Serikali itakopa jumla ya bilioni mia nane sitini na moja
- - Duniani Leo ››
- 5 Feb 2025 - "We’re competing for power and we must refrain from drumming up support for our competitors."
- 5 Feb 2025 - Shockingly, the relative sometimes attends county executive committee meetings.
- 5 Feb 2025 - Between 2017 and 2020, police-community ties were toxic in Mathare, Dandora and Kibera
- 5 Feb 2025 - Mwikali says her approach is radical but also compassionate to the disadvantaged
- 5 Feb 2025 - Police in Homa Bay have arrested a teenage mother who attempted to kill her newborn baby by throwing her newborn girl in a pit latrine.
- 5 Feb 2025 - Kenya plans to send Somali elders to Somalia to negotiate the release of four Chiefs and an Assistant Chief who were abducted by Al Shabaab militants in Elwak, Mandera County. Officials said that was the safest way of guaranteeing their safe release from…
- 5 Feb 2025 - The European Union wants to engage swiftly with the United States over President Donald Trump's planned tariffs, trade chief Maros Sefcovic said on Tuesday, while his boss Ursula von der Leyen stressed the bloc would protect its interests in negotiations.
- 5 Feb 2025 - KMPDU has formally announced a strike by doctors at MTRH following what it terms as collapsed talks.
- 5 Feb 2025 - The government is taking decisive action to eradicate insecurity in the North Eastern region of Kenya, President William Ruto has said.
- 5 Feb 2025 - Honda shares surged in Tokyo on Wednesday as Japanese media said the automaker had proposed making its struggling rival Nissan a subsidiary -- with some reports saying the move could spell the end of their merger talks.