- 18 views
Wizara ya afya imetangaza mipango ya kurudisha programu za ukimwi, malaria, na kifua kikuu katika huduma za afya za kawaida kama hatua muhimu ya kuziba pengo la ufadhili, baada ya marekani kusitisha ufadhili kwa mataifa tofauti kwa muda. Waziri wa afya Deborah Barasa amesisitiza kuwa programu hizo tatu kuu zitasaidiwa kupitia mpango wa Taifa Care. Tangazo hilo linafuatia uamuzi wa shirika la usaid kuwapa likizo bila malipo wafanyikazi wake wote wa kimataifa kuanzia ijumaa wiki hii.
Wizara ya afya yatangaza mipango ya kurudisha programu za ukimwi, malaria, na kifua kikuu
- - Duniani Leo ››
- 6 Feb 2025 - The head of the UN refugee agency voiced surprise Wednesday at President Donald Trump's shock proposal for the United States to take over the Gaza Strip and resettle its people.
- 6 Feb 2025 - U.S. President Donald Trump said on Monday he wanted Ukraine to supply the country with rare earths in return for financially supporting Kyiv's war effort against Russia.
- 6 Feb 2025 - While President William Ruto defends his Kenya Kwanza administration, little is seen on the ground that points to investigations of crimes
- 6 Feb 2025 - The official is said to have roughed up the junior officer for seeking to know the reasons behind delayed payment.
- 6 Feb 2025 - Kakamega and Bungoma were among the highest beneficiaries.
- 6 Feb 2025 - Yusuf, an insurance consultant, narrates how she partnered with Leyla Omar whose son she helped raise funds for.
- 6 Feb 2025 - UN spokesman Stéphane Dujarric said the US had committed $15 million to the mission’s trust fund.
- 6 Feb 2025 - Wambua put Kingi at the receiving end as he claimed the Speaker has not been objective in handling the members.
- 6 Feb 2025 - There is no clear data on the number of Kenyans living in the populous country.
- 6 Feb 2025 - Activist Bob Njagi, one of the three people abducted in Kitengela in August last year claims that the missing Wajir Member of County Assembly Yussuf Hussein Ahmed was held in their room.