- 1,710 viewsMawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana Ijumaa Februari 07, 2025 jijini Dar es Salaam, Tanzania, kujadili hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Katika hotuba zao, viongozi wa mkutano huo wameeleza kuwa hali ya usalama Mashariki mwa DRC bado ni tete, huku mashambulizi ya makundi ya waasi kama M23 yakisababisha vifo vya raia na walinda amani, pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu. Wameeleza kuwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu ndiyo waathirika wakubwa wa mgogoro huu. Mawaziri hao wametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa DRC kuheshimu sheria za kimataifa, kulinda wanadiplomasia na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inawafikia wahitaji. Wameeleza kuwa njia pekee ya kuleta amani ya kudumu ni kupitia mazungumzo badala ya mapigano yasiyoisha. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje
Viongozi wa EAC na SADC waeleza hali ya usalama DRC bado tete
- 12 Mar 2025 - Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
- 12 Mar 2025 - Atandi will be deputized by Dr. Robert Pukose following a hotly contested but decisive election.
- 12 Mar 2025 - The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
- 12 Mar 2025 - The Commission for University Education has flagged 15 institutions for operating illegally in Kenya.
- 12 Mar 2025 - An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
- 12 Mar 2025 - The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows
- 12 Mar 2025 - The vice has led to losses by farmers in the region of billions of shillings.
- 12 Mar 2025 - WW now uses his ordeal to raise awareness on male-victim violence
- 12 Mar 2025 - The board said those flouting the law will face sanctions.
- 12 Mar 2025 - There are more males who read newspapers as compared to females.