- 107 viewsMawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana Ijumaa Februari 07, 2025 jijini Dar es Salaam, Tanzania, kujadili hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Katika hotuba zao, viongozi wa mkutano huo wameeleza kuwa hali ya usalama Mashariki mwa DRC bado ni tete, huku mashambulizi ya makundi ya waasi kama M23 yakisababisha vifo vya raia na walinda amani, pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu. Wameeleza kuwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu ndiyo waathirika wakubwa wa mgogoro huu. Mawaziri hao wametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa DRC kuheshimu sheria za kimataifa, kulinda wanadiplomasia na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inawafikia wahitaji. Wameeleza kuwa njia pekee ya kuleta amani ya kudumu ni kupitia mazungumzo badala ya mapigano yasiyoisha. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje
Viongozi wa EAC na SADC waeleza hali ya usalama DRC bado tete
- 8 Feb 2025 - Mexico has received nearly 11,000 deported migrants from the United States since January 20 when U.S. President Donald Trump took office, Mexican President Claudia Sheinbaum said on Friday.
- 8 Feb 2025 - U.S. President Donald Trump has authorized economic and travel sanctions targeting people who work on International Criminal Court investigations of U.S. citizens or U.S. allies such as Israel, drawing condemnation - but also some praise - abroad.
- 8 Feb 2025 - A Ugandan court has charged eight finance ministry officials with corruption, electronic fraud and money laundering from a hacking incident on the central bank's systems.
- 8 Feb 2025 - President William Ruto has completed his four-day extensive development tour of the North Eastern region, covering Mandera, Wajir, Garissa and Isiolo counties.
- 8 Feb 2025 - DCI detectives from the homicide investigations team are probing the murder of a patient inside a ward at the Kenyatta National Hospital (KNH).
- 8 Feb 2025 - A family in Nakuru is in distress following a disappearance of the body of their 7-month-old baby who passed on Monday this week.
- 8 Feb 2025 - Which Majority? Judges' shocker to Kenya Kwanza leadership in National Assembly
- 8 Feb 2025 - Raila takes the upper hand in Parliament after court decision
- 8 Feb 2025 - Truckers face mandatory use of planned Sh352b Mombasa-Nairobi Expressway
- 8 Feb 2025 - Trump's order on USAID operations hurts US and aid-recipient nations