- 201 views
Maafisa 144 wa polisi wamewasili haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo kusaidia kupambana na magenge ya uhalifu na kurejesha amani. Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen aliwaaga maafisa hao ambao ni kundi la tatu kuondoka nchini baada ya vikosi viwili kutangulia haiti mwaka jana na mapema mwaka huu. Hii inawadia huku rais william ruto akijitokeza na kusema kwamba taifa la marekani litaendelea kuunga mkono juhudi za kuleta uthabiti haiti baada ya taifa hilo kutangaza kusitisha ufadhili wa kigeni.
Maafisa 144 wa polisi wamewasili Haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo
- 8 Feb 2025 - A suspected jihadist attack on a convoy escorted by the army and Russia's Wagner mercenary group has killed 10 people in northern Mali, officials said on Saturday.
- 8 Feb 2025 - Kenyan President William Ruto urged all armed forces in eastern Democratic Republic of Congo to cease hostilities as regional leaders met in Tanzania for a peace summit on Saturday.
- 8 Feb 2025 - Brilliant Jepkorir and Daniel Ebenyo are this year’s national cross country champions in the 10km races held today at the Eldoret sports Club.
- 8 Feb 2025 - A US judge issued an emergency order early Saturday blocking Elon Musk's government reform team from accessing personal and financial data stored at the Treasury Department, court documents showed.
- 8 Feb 2025 - The landslide occurred at 11:50 a.m. in Jinping Village
- 8 Feb 2025 - Hamas released three more Israeli hostages on Saturday as part of a fragile ceasefire agreement, even as U.S. President Donald Trump continues to promote his plan to take ownership of the Gaza Strip.
- 8 Feb 2025 - The police have since launched investigations into the gruesome murder.
- 8 Feb 2025 - President William Ruto has of late been advocating for an all-inclusive government.
- 8 Feb 2025 - According to the EAC-SADC ministers, delivery of food, water, and medical aid has been greatly disrupted
- 8 Feb 2025 - US District Judge Paul A. Engelmayer issued a preliminary injunction on Saturday to prohibit access