Mkurugenzi wa Kupambana na Ugaidi atahadharisha kuhusu kuongezeka tishio la jihadi

  • | VOA Swahili
    210 views
    Mkurugenzi Mwandamizi wa Idara ya kupambana na ugaidi ya serikali ya Marekani Sebastian Gorka anasema: “Tishio la Jihadi duniani limeongezeka sana. Tunapambana nalo kwa rasilimali chache, tumepungukiwa rasilimali kwa 30% kuliko ilivyokuwa katika utawala uliopita kukabiliana na ongezeko kubwa la tishio la Jihadi. Amesema hayo katika mkutano ulioandaliwa na Baraza la Sera za Kigeni la Marekani uliyofanyika Februari 12, 2025, Washington, DC. Endelea kusikiliza…. #mkurugenzi #idara #ugaidi #serikali #marekani #sebastiangorka #tishio #jihadi #rasilimali #voa #voaswahili #donaldtrump #rais