- 303 views
Muungano wa makundi ya kutetea haki za binadamu, wakiongozwa na Amnesty International, tawi la Kenya, Vocal Africa na chama cha madakatari na wataalam wa meno waliandamana jijini Nairobi kudhihirisha umoja na mwanasiasa wa Uganda dkt. Kizza Besigye, ambaye yuko kuzuizini nchini Uganda ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhaini Waandamanaji hao walijumuika katika barabara ya Aga Khan Walk katikati ya jiji la Nairobi kabla ya kuelekea majengo ya bunge kuwasilisha ombi la kutaka Dkt Besigye, aachiliwe huru baada ya kukamtwa akiwa jijini Nairobi mwezi Novemba mwaka uliopita. Makundi hayo ya utetezi wa haki za raia pia yaliapa kuandamana nje ya ubalozi wa Uganda humu nchini leo alasiri ambako watawasilisha ombi la kushinikiza kuachiliwa kwake wakidai ananyanyaswa kisiasa kamba haki zake za kidemokrasia zinakiukwa. Walitoa wito kwa serikali ya Kenya na jamii ya kimataifa kuingilia kati kuishinikiza serikali ya Uganda kumwachilia Besigye.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kuzuiliwa kwa Besigye : Makundi ya kutetea haki yaandamana Nairobi
- 25 Feb 2025 - In the quiet village of Naserian, Kajiado West in Kajiado County, grief hangs heavy in the air; a family shattered, mourning their son, Samuel Kaitwai.
- 25 Feb 2025 - Appearing before the National Assembly Administration and Internal Security Committee, Metito requested an additional KSh 3 billion for State House to finalize pending projects, including renovations.
- 25 Feb 2025 - The demonstrators condemned President Yoweri Museveni's government, labeling it authoritarian and oppressive.
- 25 Feb 2025 - A night flight at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) brings with it a special delivery for the country and its conservation efforts: aboard the cargo plane were over a dozen animals, making their return home after years away in Florida, USA.
- 25 Feb 2025 - The summit, co-chaired by Emmerson Dambudzo Mnangagwa, President of Zimbabwe and SADC Chairperson, and William Samoei Ruto, President of Kenya and EAC Chairperson, was held in Dar es Salaam on February 8, 2025.
- 24 Feb 2025 - In a statement issued on Monday, U.S. Chargé d'Affaires to Kenya, Marc Dillard, expressed deep condolences to the officer's family and praised the bravery of Kenyan forces contributing to global security efforts.
- 24 Feb 2025 - Detectives have confirmed that the body found dumped in Makongo forest along the Machakos-Wote road in Makueni County over the weekend belongs to Campbell Scott, the British national who went missing last week in Nairobi.
- 24 Feb 2025 - Jarod Tyler Roberts was arraigned before the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) Law Courts on Monday, where he pleaded not guilty to trafficking cocaine valued at Ksh.240,000.
- 24 Feb 2025 - Njoroge Mwaura became a household name in Kenya for his eloquent news presentation and reporting on major political and socio-economic stories, and was highly regarded in the media fraternity.
- 24 Feb 2025 - The concentration of family members in key government and military positions has sparked discussions about nepotism