- 29 views
Wenye pikipiki katika kaunti ndogo ya Malindi wanaitaka serikali kuidhinisha kuwekwa kwa vifaa vya kufuatilia pikipiki zao hata baada ya kumaliza kulipa mikopo ya kuzinunua. Mwenyekiti wa chama wenye bodaboda katika eneo la Malindi, John Brandon Nzai amesema hatua hiyo itasaidia kupunguza wizi wa pikipiki ambao umepungua kwa asilimia 80 kufuatia kuwekwa kwa vifaa hivyo mbali na kuimarisha usalama kwa jumla. Hali kadhalika wanabodaboda wanaitaka serikali kubuni sera ambazo zitafanikisha uwekaji vifaa vya kudumu vya ufuatiliaji wa pikipiki. Walisema haya wakati wa hafla iliyoandaliwa na kampuni ya mikopo ya Watu na shirika la NTSA ambapo waendeshaji pikipiki 2000 walipata vyeti vya umiliki wa pikipiki zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wenye pikipiki wakadiria kuweka vifaa vya ufuatiliaji
- 1 Mar 2025 - President Donald Trump will sign an executive order to make English the official U.S. language, a source with knowledge of the matter said on Friday.
- 1 Mar 2025 - Democratic Republic of Congo's government and Rwandan-backed M23 rebels traded blame on Friday for several explosions at a rally in the rebel-held eastern city of Bukavu that killed 13 people and wounded scores of others the previous day.
- 1 Mar 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga says he is set to wind up his public consultations before giving a way forward for the ODM party.
- 1 Mar 2025 - Kalonzo struggles for support as allies and opportunies slip away
- 1 Mar 2025 - Varsity selection starts as agency opens portal
- 1 Mar 2025 - ODM turns 20 as opinion split on path to power after myriad deals
- 1 Mar 2025 - How petition to oust top judges could raise a legal conundrum
- 1 Mar 2025 - How 'fear of democracy' cost Raila AUC seat
- 1 Mar 2025 - Lessons from protests seeking release of Besigye
- 1 Mar 2025 - Raila leaves supporters guessing yet again