- 5 views
Wizara ya elimu imehimizwa kushirikisha masomo ya kifedha kwenye mtaala wa shule za msingi kuhakikisha wanafunzi wanaelewa umuhimu wa kuwekeza na kufanya biashara kama njia ya kukabiliana na ufukara na changamoto za kiuchumi . Akizungumza mjini Busia wakati wa kongamanao la kila mwaka la chama cha walimu cha Bushirika kutoka kaunti ya Bungoma , Katibu wa wizara ya biashara ndogo na zile za kadiri Susan Mang'eni, alisema kuwa wakenya wengi hawana maarifa ya kutosha ya kifedha, hali inayoathiri ustawi wa nchi hii
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Uatawi wa jamii : Seririkali yahimizwa kuongeza masomo ya kifedha kwenye mtaala
- 1 Mar 2025 - President Donald Trump will sign an executive order to make English the official U.S. language, a source with knowledge of the matter said on Friday.
- 1 Mar 2025 - Democratic Republic of Congo's government and Rwandan-backed M23 rebels traded blame on Friday for several explosions at a rally in the rebel-held eastern city of Bukavu that killed 13 people and wounded scores of others the previous day.
- 1 Mar 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga says he is set to wind up his public consultations before giving a way forward for the ODM party.
- 1 Mar 2025 - How petition to oust top judges could raise a legal conundrum
- 1 Mar 2025 - How 'fear of democracy' cost Raila AUC seat
- 1 Mar 2025 - Lessons from protests seeking release of Besigye
- 1 Mar 2025 - Raila leaves supporters guessing yet again
- 1 Mar 2025 - Looming danger as residents live on petrol pipes
- 1 Mar 2025 - Kalonzo struggles for support as allies and opportunies slip away
- 1 Mar 2025 - Varsity selection starts as agency opens portal