- 7 views
wadau wa elimu katika kaunti ya Migori wamefadhaishwa na kudorora kwa muundo mbinu katika shile nyingi za eneo hilo wakitoa wito wa ushirikiano baina ya serikali na sekta ya kibinafsi ili kuboresha taasisi za elimu. Wakiongea wakati wakfu wa safaricom ulipokabidhi madarasa 12 na maabara kwa wasimamizi wa shule ya msingi ya Komolo Rume, wadau hao waligusia umuhimu wa dharura wa kustawisha muundo mbinu katika shule nyingi za humu nchini. Mradi huo uliogharimu shilingi milioni 40 ni sehemu ya juhudi za wakfu huo za kuinua viwango vya elimu humu nchini.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakfu wa Safaricom wajenga madarasa Migori
- 1 Mar 2025 - President Donald Trump will sign an executive order to make English the official U.S. language, a source with knowledge of the matter said on Friday.
- 1 Mar 2025 - Democratic Republic of Congo's government and Rwandan-backed M23 rebels traded blame on Friday for several explosions at a rally in the rebel-held eastern city of Bukavu that killed 13 people and wounded scores of others the previous day.
- 1 Mar 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga says he is set to wind up his public consultations before giving a way forward for the ODM party.
- 1 Mar 2025 - Recurring audit queries expose MPs as weak link in public funds control
- 1 Mar 2025 - ODM turns 20 as opinion split on path to power after myriad deals
- 1 Mar 2025 - How petition to oust top judges could raise a legal conundrum
- 1 Mar 2025 - How 'fear of democracy' cost Raila AUC seat
- 1 Mar 2025 - Lessons from protests seeking release of Besigye
- 1 Mar 2025 - Raila leaves supporters guessing yet again
- 1 Mar 2025 - Looming danger as residents live on petrol pipes