- 1,734 views
Rais William Ruto amewakashifu viongozi wa upinzani ambao amesema hawana mpango wazi kwa taifa, na badala yake wanatumia muda wao kuidhalalisha serikali yake. Akizungumza katika kaunti ya Taita Taveta, Rais aliwadiriki viongozi hao kuweka wazi manifesto zao kwa wapiga kura, na kufafanua wazi sera na mikakati yao badala ya kutumia jina lake kujitafutia umaarufu. Rais Ruto pia alikemea siasa za ukabila akiwahimiza viongozi kutoa suluhu kwa changamoto zinazowakumba Wakenya
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto awakashifu wakosoaji wa serikali
- 1 Mar 2025 - President Donald Trump will sign an executive order to make English the official U.S. language, a source with knowledge of the matter said on Friday.
- 1 Mar 2025 - Democratic Republic of Congo's government and Rwandan-backed M23 rebels traded blame on Friday for several explosions at a rally in the rebel-held eastern city of Bukavu that killed 13 people and wounded scores of others the previous day.
- 1 Mar 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga says he is set to wind up his public consultations before giving a way forward for the ODM party.
- 1 Mar 2025 - Recurring audit queries expose MPs as weak link in public funds control
- 1 Mar 2025 - How petition to oust top judges could raise a legal conundrum
- 1 Mar 2025 - How 'fear of democracy' cost Raila AUC seat
- 1 Mar 2025 - Trump-Zelensky shouting match takes world leaders aback
- 1 Mar 2025 - Lessons from protests seeking release of Besigye
- 1 Mar 2025 - Raila leaves supporters guessing yet again
- 1 Mar 2025 - Looming danger as residents live on petrol pipes