- 9 views
Wafanyabiashara humu nchini wamehimizwa kutumia fursa ya maonesho ya bidhaa za China al-maarufu Canton Fair kuagiza bidhaa bora na kupata masoko mapya ili kuimarisha ubia wa kibiashara na Uchina . Akiongea jijini Nairobi wakati wa kikao kilichowaleta pamoja wadau wa sekta ya biashara, mwenyekiti wa masuala ya biashara na udiplomasia katika chama cha kitaifa cha wenye biashara na viwanda humu nchini, Ronald Meru amesema maoneesho hayo yatawaunganisha moja moja wanabiashara wa Kenya na wasambazaji wa bidhaa katika masoko ya kimataifa hayo yakiwa mojawapo ya maonesho jadi yanyoandaliwa mara mbili kwa mwaka.Maonesho hayo yatafanyika katika jimbo la Guanzou kati ya tarehe 15 mwezi Aprili na tarehe tano Mwezi Mei mwaka huu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wafanyabiashara humu nchini wamehimizwa kutumia fursa ya maonesho ya bidhaa za China , Canton Fair
- 6 Mar 2025 - The National Police Service (NPS) says it has hit the ground running in putting in place adequate security measures ahead of the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON).
- 6 Mar 2025 - KUCCPS has announced the availability of 13,823 slots for the 2025 intake into public Teacher Training Colleges (TTCs), with the application period running until March 20, 2025.
- 6 Mar 2025 - Former Chief Justice David Maraga says that if he were to be elected President of Kenya, he would strive to ensure Kenyans are law-abiding citizens.
- 6 Mar 2025 - The East African Community (EAC) launched its ‘Visit East Africa: Feel the Vibe’ campaign at the 2025 ITB Berlin Expo, the world’s largest travel trade fair.
- 6 Mar 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba has assured students set to join institutions of higher learning in September this year that a new funding model will be in place by then.
- 6 Mar 2025 - President William Ruto hosted Reverend Edward Mwai, the founder of the Jesus Winner Ministry Church, at State House, Nairobi, on Thursday, with the two leaders discussing ongoing collaboration between the State and the church.
- 6 Mar 2025 - Orange Democratic Movement [ODM] leader Raila Odinga has reiterated his commitment to ensuring that the government prioritises development projects in Narok County and the wider Rift Valley region. Speaking on Thursday, March 6, 2025, during a public…
- 6 Mar 2025 - Cabinet Secretary for Public Service and Human Capital Development, Justin Muturi, has urged the National Assembly Departmental Committee on Labour to approve increased budgetary allocations to strengthen public service delivery
- 6 Mar 2025 - BBC report alleged the involvement of minors in inappropriate live streams on the platforms
- 6 Mar 2025 - He will be buried on Saturday.