- 24 views
Chama cha UDA kimetangaza awamu ya pili ya uchaguzi mashinani, utakaoandaliwa kati ya tarehe 11 na 12 mwezi Aprili mwaka huu katika kaunti 22. Mwenyekiti wa chama hicho Cecily Mbarire akitangaza hayo aliwahimiza wawaniaji wote kujisajili,akisema kuwa mchakato wa usajili umefunguliwa hadi tarehe 21 mwezi huu . Wagombeaji wanaweza kujisajili kupitia tovuti ya chama hicho UDA.ke. Chama kufikia sasa kimenunua zaidi ya vifaa 10,000 vya uchaguzi kuhakikisha kuwa uchaguzi huo unaadaliwa kupitia mfumo wa kielektroniki ili kuhakikisha kwamba unakuwa wazi, huru na wa haki.Chama hicho hadi sasa kimefanikiwa kufanya chaguzi katika kaunti 5.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Awamu ya pili ya uchaguzi wa UDA nyanjani kuandaliwa mwezi ujao
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 11 Mar 2025 - The ODM leader was heckled during a Shabana FC-Sportpesa event at Gusii Stadium.Some leaders accused the youth of being disrespectful to the veteran politician.
- 11 Mar 2025 - Musk blamed a cyberattack, providing no evidence, for crashing the site last year when an interview with Donald Trump was to be streamed.
- 11 Mar 2025 - As the South Rift Secondary Schools County Games concluded last weekend, attention now shifts to the Rift Valley Regional Championships, set to take place this week in Eldoret, Uasin Gishu County. Ahead of the anticipated weekend action, schools from…
- 11 Mar 2025 - Integrity sisters: Why politicians love to hate these public servants
- 11 Mar 2025 - Victims of 2007 post-election sexual violence deserve justice
- 11 Mar 2025 - Security agencies have assured the public that there was no immediate threat and that measures remain in place to safeguard the country’s most critical installations.
- 11 Mar 2025 - The meeting, which brought together key figures from the region, also saw Kisii Senator Richard Onyonka address allegations linking him to the recent heckling of ODM leader Raila Odinga at Gusii Stadium.
- 11 Mar 2025 - The CA argues that the court lacks jurisdiction over the matter and insists that it should be resolved through alternative dispute resolution mechanisms.
- 11 Mar 2025 - The CA argues that the court lacks jurisdiction over the matter and insists that it should be resolved through alternative dispute resolution mechanisms.
- 11 Mar 2025 - Kenya-Chile trade and investment relations look brighter after both nations reaffirmed their commitment to strengthening bilateral trade and investment ties.