- 2,202 views
Rais William Ruto ametetea ushirikiano wa kisiasa baina yake na kiongozi wa ODM Raila Odinga akisema unalenga kuleta umoja wa taifa hili. Akizungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika eneo la Kamukunji kaunti ya Nairobi, kiongozi wa taifa vile vile alipuuzilia mbali madai kwamba makubaliano baina yake na kiongozi wa chama cha ODM, ni ya kugawana mamlaka kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Rais Ruto badala yake alisema mkataba huo uliotiwa saini katika jumba la mikutano ya kimataifa KICC unanuia kuleta ukuaji wa uchumi pamoja na maendeleo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Rais Ruto azuru mitaa kadha Nairobi, atetea mkataba baina yake na Raila
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 11 Mar 2025 - The ODM leader was heckled during a Shabana FC-Sportpesa event at Gusii Stadium.Some leaders accused the youth of being disrespectful to the veteran politician.
- 11 Mar 2025 - Musk blamed a cyberattack, providing no evidence, for crashing the site last year when an interview with Donald Trump was to be streamed.
- 11 Mar 2025 - As the South Rift Secondary Schools County Games concluded last weekend, attention now shifts to the Rift Valley Regional Championships, set to take place this week in Eldoret, Uasin Gishu County. Ahead of the anticipated weekend action, schools from…
- 11 Mar 2025 - Integrity sisters: Why politicians love to hate these public servants
- 11 Mar 2025 - Victims of 2007 post-election sexual violence deserve justice
- 11 Mar 2025 - Security agencies have assured the public that there was no immediate threat and that measures remain in place to safeguard the country’s most critical installations.
- 11 Mar 2025 - The meeting, which brought together key figures from the region, also saw Kisii Senator Richard Onyonka address allegations linking him to the recent heckling of ODM leader Raila Odinga at Gusii Stadium.
- 11 Mar 2025 - The CA argues that the court lacks jurisdiction over the matter and insists that it should be resolved through alternative dispute resolution mechanisms.
- 11 Mar 2025 - The CA argues that the court lacks jurisdiction over the matter and insists that it should be resolved through alternative dispute resolution mechanisms.
- 11 Mar 2025 - Kenya-Chile trade and investment relations look brighter after both nations reaffirmed their commitment to strengthening bilateral trade and investment ties.