Marekani yataka madini ili kuisaidia DRC kupamba na M23
Waasi wa M23 huko DRC wanaendelea kuteka maeneo zaidi mashariki mwa taifa hilo na kukaribia eneo jingine lenye utajiri wa madini. Haya yanajiri huku kukiwa na ripoti kwamba Marekani inafanya mazungumzo na serikali ya DRC kuhusu kuipa DRC msaada wa kijeshi na kisha Marekani kupata fursa ya kuchimba madini muhimu kutoka nchini humo. Nchi hiyo ina utajiri wa madini mengi kama kobalti, lithium, dhahabu na uranium na inaonekana hii inaweza kuvutia utawala mpya wa Trump ambao unaripotiwa kuwa wazi kufanya makubaliano, sawa na yale yanayopendekezwa kwa taifa la Ukraine.
10 Mar 2025
- Airbnbs have been flagged as a hotspot for a worrying vice.
10 Mar 2025
- Nairobi was among several counties which received heavy rainfall from March 8.
10 Mar 2025
- Rex Masai was shot dead during the Gen-Z protests in 2024.
11 Mar 2025
- The ODM leader was heckled during a Shabana FC-Sportpesa event at Gusii Stadium.Some leaders accused the youth of being disrespectful to the veteran politician.
11 Mar 2025
- Musk blamed a cyberattack, providing no evidence, for crashing the site last year when an interview with Donald Trump was to be streamed.
11 Mar 2025
- As the South Rift Secondary Schools County Games concluded last weekend, attention now shifts to the Rift Valley Regional Championships, set to take place this week in Eldoret, Uasin Gishu County. Ahead of the anticipated weekend action, schools from…
11 Mar 2025
- Victims of 2007 post-election sexual violence deserve justice
11 Mar 2025
- Integrity sisters: Why politicians love to hate these public servants
11 Mar 2025
- Security agencies have assured the public that there was no immediate threat and that measures remain in place to safeguard the country’s most critical installations.
11 Mar 2025
- The meeting, which brought together key figures from the region, also saw Kisii Senator Richard Onyonka address allegations linking him to the recent heckling of ODM leader Raila Odinga at Gusii Stadium.
11 Mar 2025
- The CA argues that the court lacks jurisdiction over the matter and insists that it should be resolved through alternative dispute resolution mechanisms.
11 Mar 2025
- The CA argues that the court lacks jurisdiction over the matter and insists that it should be resolved through alternative dispute resolution mechanisms.
11 Mar 2025
- Pope still improving, Vatican eyes end of hospitalisation