Maafisa wa Marekani na Ukraine wasema Kyiv inaunga mkono usitishaji vita...
Maafisa wa Marekani na Ukraine wamekutana Jumanne mjini Jeddah, Saudi Arabia, kwa mazungumzo juu ya juhudi za kumaliza vita vya Russia na Ukraine, huku pande zote mbili zikisema Kyiv inaunga mkono pendekezo la Marekani la kusitisha vita kwa siku 30.
Taarifa ya pamoja iliyotolewa baada ya mazungumzo hayo imesema, “Ukraine imeelezea utayari wa kukubali pendekezo la Marekani kupitisha mara moja sitisho la mud ala mapigano kwa siku 30.
ambalo linaweza kuongezwa muda kwa makubaliano ya pande zote, na pia litasubiri Shirikisho la Russia kukubali na wakati huo huo kulitekeleza.
Marekani itawasiliana na Russia na kuwa kukubali kwa Russia ndiyo msingi wa kufikia amani. - VOA
#trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa #saudiarabia #marekani
12 Mar 2025
- The training is expected to commence on May 5.
12 Mar 2025
- This comes just a day after the cabinet announced the planned date for construction of the Nairobi-Nakuru-Mau Summit Highway.
12 Mar 2025
- The portal closes in eight days, according to the notice.
12 Mar 2025
- A ten-year-old Grade Four pupil is recovering at Homa Bay County Teaching & Referral Hospital after being attacked by classmates.
12 Mar 2025
- Clinical officers have suspended their nationwide strike following successful negotiations between the Ministry of Health and the leadership of the Kenya Union of Clinical Officers, Health CS Deborah Barasa has announced.
12 Mar 2025
- A two-and-a-half-year-old boy is recovering from serious injuries at the Homa Bay County Referral Hospital after allegedly being assaulted by his biological father.
12 Mar 2025
- Doctors and civil servants will on Tuesday next week take to the streets to protest against what they term as discrepancies and omissions affecting their sectors within the Social Health Authority (SHA).
12 Mar 2025
- Officers from the Directorate of Criminal Investigation (DCI), alongside Kenya Revenue Officials, have arrested 18 people on suspicion of evading taxes while handling cargo.
12 Mar 2025
- The Speaker of the National Assembly Moses Wetangula has filed an application requesting the court to remove his name from a case challenging the procurement of 25 cameras at an alleged cost of Ksh.1.6 billion, citing a lack of public participation.
12 Mar 2025
- DPP Renson Ingonga has called on the Nairobi Anti-Corruption Court to convict former Busia Governor Sospeter Ojaamong on corruption charges and impose appropriate penalties.
12 Mar 2025
- Kenya has called for stronger international collaboration to combat the misuse of certain substances and enhance global drug control measures.
12 Mar 2025
- On the third day of President William Ruto’s development tour in Nairobi, his convoy made its way through Uthiru and Dagoretti, bringing a host of development projects to the region.
12 Mar 2025
- The training is expected to commence on May 5.