Watano wauawa, 5 wajeruhiwa wakati al-Shabaab walipovamia hoteli moja nchini Somalia
Watu wenye silaha waliivamia hoteli moja katika mji wa Baladweyne katikati mwa Somalia leo Jumanne ambako wazee wa eneo hilo pamoja na maafisa wa serikali walikuwa wanakutana na kuzingirwa kunaendelea, mashahidi na jamaa waliliambia shirika la habari la Reuters.
Kundi la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Dahir Amin Jesow, mbunge wa jimbo la Baladweyne, alisema hadi sasa kiasi cha watu wanne waliuawa lakini tunaendelea kuhesabu idadi ya vifo. Kundi la wanamgambo wa Kiislamu la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Al-Shabaab mara kwa mara wanafanya mashambulizi ya mabomu na bunduki katika taifa hilo tete katika Pembe ya Afrika wakati likijaribu kuiangusha serikali na kuanzisha utawala wake kwa kuzingatia tafsiri yake kali ya sheria ya Kiislamu ya Sharia.
"Kwanza tulisikia mlipuko mkubwa uliofuatiwa na milio ya risasi, kisha mlipuko mwingine ukasikika" alisema Ali Suleiman mfanyabiashara wa duka ambaye alishuhudia shambulio hilo.
#somalia #hoteli #mauaji #alshabaab #somalia #baladweyne #voa #voaswahili
12 Mar 2025
- Kenya was instrumental in the creation of South Sudan in 2011 and remains a leading partner for the world's youngest nation.
12 Mar 2025
- The company employs more than 1,500 people, and its operations generate 20,000 indirect jobs.
12 Mar 2025
- The Senator said that the move would be useless to the common citizen.
12 Mar 2025
- Over 40,000 youths from Nairobi will be recruited for the Nairobi Rivers Regeneration Project, which aims to raise the profile of the city in a bid to attract more investors and improve its economic output.
12 Mar 2025
- A ten-year-old Grade Four pupil is recovering at Homa Bay County Teaching & Referral Hospital after being attacked by classmates.
12 Mar 2025
- Clinical officers have suspended their nationwide strike following successful negotiations between the Ministry of Health and the leadership of the Kenya Union of Clinical Officers, Health CS Deborah Barasa has announced.
12 Mar 2025
- A two-and-a-half-year-old boy is recovering from serious injuries at the Homa Bay County Referral Hospital after allegedly being assaulted by his biological father.
12 Mar 2025
- Doctors and civil servants will on Tuesday next week take to the streets to protest against what they term as discrepancies and omissions affecting their sectors within the Social Health Authority (SHA).
12 Mar 2025
- Officers from the Directorate of Criminal Investigation (DCI), alongside Kenya Revenue Officials, have arrested 18 people on suspicion of evading taxes while handling cargo.
12 Mar 2025
- The Speaker of the National Assembly Moses Wetangula has filed an application requesting the court to remove his name from a case challenging the procurement of 25 cameras at an alleged cost of Ksh.1.6 billion, citing a lack of public participation.
12 Mar 2025
- DPP Renson Ingonga has called on the Nairobi Anti-Corruption Court to convict former Busia Governor Sospeter Ojaamong on corruption charges and impose appropriate penalties.
12 Mar 2025
- Kenya was instrumental in the creation of South Sudan in 2011 and remains a leading partner for the world's youngest nation.
12 Mar 2025
- He was replaced by Alego Usonga MP Samuel Atandi.