Watano wauawa, 5 wajeruhiwa wakati al-Shabaab walipovamia hoteli moja nchini Somalia
Watu wenye silaha waliivamia hoteli moja katika mji wa Baladweyne katikati mwa Somalia leo Jumanne ambako wazee wa eneo hilo pamoja na maafisa wa serikali walikuwa wanakutana na kuzingirwa kunaendelea, mashahidi na jamaa waliliambia shirika la habari la Reuters.
Kundi la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Dahir Amin Jesow, mbunge wa jimbo la Baladweyne, alisema hadi sasa kiasi cha watu wanne waliuawa lakini tunaendelea kuhesabu idadi ya vifo. Kundi la wanamgambo wa Kiislamu la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Al-Shabaab mara kwa mara wanafanya mashambulizi ya mabomu na bunduki katika taifa hilo tete katika Pembe ya Afrika wakati likijaribu kuiangusha serikali na kuanzisha utawala wake kwa kuzingatia tafsiri yake kali ya sheria ya Kiislamu ya Sharia.
"Kwanza tulisikia mlipuko mkubwa uliofuatiwa na milio ya risasi, kisha mlipuko mwingine ukasikika" alisema Ali Suleiman mfanyabiashara wa duka ambaye alishuhudia shambulio hilo.
#somalia #hoteli #mauaji #alshabaab #somalia #baladweyne #voa #voaswahili
18 Apr 2025
- The project had been ongoing for ten years.
18 Apr 2025
- The man is currently without his own home and is depending on others for housing.
18 Apr 2025
- The Kenya Met boss also listed counties that would experience very cold nights.
19 Apr 2025
- The United States has been waving the ‘tariff cane’ to the world, with President Donald Trump wielding it and swirling it like a pendulum against any country that he feels must be taught a lesson. In Trump’s latest stings, China has been on the…
19 Apr 2025
- Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
19 Apr 2025
- KSA identified the object as Norad ID 61909/2024-205R, describing it as significant debris from a rocket body. Its mass remains unknown.
19 Apr 2025
- Football Kenya Federation (FKF) Premier League champions Gor Mahia will have a chance to close in on the leading pack when they take on Sofapaka in a crucial fixture at Dandora Stadium today. The record champions, who are sitting third on the 16-team…
19 Apr 2025
- Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
19 Apr 2025
- Top county officials summoned in waste firm deal
19 Apr 2025
- A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
19 Apr 2025
- Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
19 Apr 2025
- After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
18 Apr 2025
- Gas blast kills two, injures several in Embakasi South