- 707 views
Rais William Ruto ameagiza kusitishwa kwa shughuli ya kuwafurusha watu kutoka kwenye ardhi ya umma hadi pale familia zilizoathirika zitakapopewa makazi mbadala. Akizungumza mwishoni mwa ziara yake jijini Nairobi katika maeneo ya Kasarani, Embakasi magharibi na Makadara kiongozi wa taifa alikariri haja ya mbinu za kisheria na kibinadamu za kusuluhisha mizozo wa ardhi. Rais alikariri kwamba watu wote walioondolewa kwenye maeneo ya mito kutokana na mafuriko watakuwa wa kwanza kupewa nyumba chini ya mpango wa serikali wa nyumba za gharama nafuu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto akamilisha ziara yake ya siku tano Nairobi
- 15 Mar 2025 - Former Commission for implementation of the Constitution (CIC) Chairman Charles Nyachae and immediate former Registrar of the Judiciary Anne Amadi have been listed in the first batch of 11 candidates to be interviewed for the position of chairperson of…
- 15 Mar 2025 - A police inspector has been sentenced to two consecutive one-year jail terms or pay a cumulative fine of Ksh.650,000 after being found guilty of corruption charges.
- 15 Mar 2025 - Dear Mr President, tough times call you to reflect on your leadership
- 15 Mar 2025 - Outrage over disruptions caused by Ruto Nairobi tours
- 15 Mar 2025 - Sh1.3b tea stuck at port after Sudan bans Kenya imports
- 15 Mar 2025 - Mwangaza's impeachment sparks mixed reactions in Meru
- 15 Mar 2025 - Honouring benga star Musa Juma 14 years on, one of Kenya's greats
- 15 Mar 2025 - Millions of shillings lie idle in unused county health projects
- 15 Mar 2025 - Student held for allegedly murdering girlfriend for declining abortion
- 15 Mar 2025 - Former governor found guilty in Sh50m tender scam