Zaidi ya watoto 400 wenye umri miaka 14 waandikishwa na watendaji wenye silaha
Zaidi ya Watoto 400 mashariki mwa DRC waliandikishwa na watendaji wenye silaha Januari na February mwaka huu huku wengine wakiwa na umri wa miaka 14 na wengine walichukuliwa kutoka kwenye shule na mitaani na kuwekwa katika hatari ya ghasia , shirika la save the children limesema na kunukuu katika tovuti yake.
Wafanyakazi wa ndani wa save the children walioko katika ulinzi wa Watoto kaskazini na kusini mwa jimbo la Kivu waliandika kesi mpya zaidi ya 400 kukiwa na makundi yenye silaha baina ya mwezi January na February mwaka 2025, wakati ghasia zilizozuka mashariki mwa nchi.
Baadhi ya watoto wanaripotiwa kuchukuliwa kutoka kwenye jumuiya zao na kupelekwa kwenye misitu kwa ajili ya kupatiwa mafunzo jinsi ya kutumia silaha bila matakwa yao.
Save the children inatoa msaada kwa watoto ambao wameachiliwa kutoka makundi yenye silaha . Mwaka 2024 kundi hilo lilisaidia takriban watoto 220 ambao awali walijihusisha na makundi yenye silaha katika majimbo ya Ituri , Kivu kaskazini na Kivu Kusini.
Watoto hawa wanapatiwa mafunzo ya kisaikolojia na msaada wa kiuchumi kwa ajili ya kuwawezesha kurejea kwenye jumuiya zao.
#watoto #silaha #drc #savethechildren #vita #jumuiya #familia #mafunzo #voa #voaswahili
15 Mar 2025
- Kenya will lose up to Ksh52 billion in funding, according to CS Mbadi.
15 Mar 2025
- These events have raised questions about the safety and planning of high-profile political engagements by the president.
15 Mar 2025
- The two were arrested in the wake of their con job that defrauded a Kenyan of millions.
15 Mar 2025
- Kenya will lose up to Ksh52 billion in funding, according to CS Mbadi.
15 Mar 2025
- "Abdallah Makki Muslih al-Rifa "was considered one of the most dangerous terrorists in Iraq and the world".
15 Mar 2025
- These events have raised questions about the safety and planning of high-profile political engagements by the president.
15 Mar 2025
- Dear Mr President, tough times call you to reflect on your leadership
15 Mar 2025
- Outrage over disruptions caused by Ruto Nairobi tours
15 Mar 2025
- Millions of shillings lie idle in unused county health projects
15 Mar 2025
- An autopsy has revealed that the foreign national suffered multiple trauma after he was hit and "possibly" run over on the left side of his body by the government vehicle.
15 Mar 2025
- The two were arrested in the wake of their con job that defrauded a Kenyan of millions.
15 Mar 2025
- Mudavadi addressed Kenya's stance on global conflicts.
15 Mar 2025
- President William Ruto’s recent political realignment with former Prime Minister Raila Odinga has triggered a major realignment in Mt Kenya’s leadership within the National Assembly. Several key leaders, perceived to been aligned to former Deputy…