- 34 views
Kenya inakabiliwa na janga la hali ya hewa kutokana na kuongezeka kwa uchafuzi wa mazingira na kuenea kwa jangwa. Kulingana na takwimu za kwanza za mazingira na afisi ya kitaifa ya takwimu ya Kenya ni asilimia 19 pekee ya ardhi ya Kenya iliyoainishwa kama iliyolindwa mwaka wa 2023 kutoka asilimia 35 mwaka wa 1980. Ripoti hiyo inazidi kusema kuwa huenda Kenya ikakabiliwa na tatizo kubwa la maji kufikia mwaka wa 2050 kutokana na uchimbaji mwingi wa maji ya ardhini katika Kaunti za Nairobi, Kiambu na Nakuru. Jael Opicho ana maelezo zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Ripoti Kuhusu Mazingira: Asilimia 19 ya ardhi Kenya ndio inalindwa na kutunzwa
- 25 Mar 2025 - About 100 "young criminals" surrendered to police authorities in Likoni, Mombasa County on Monday.
- 25 Mar 2025 - About 100 "young criminals" surrendered to police authorities in Likoni, Mombasa County on Monday.
- 25 Mar 2025 - Kidnapped from his family as an infant, then raised by a drug lord before ending up in a Colombian zoo, Yoko the chimpanzee has lived the last two years of his life alone.
- 25 Mar 2025 - A Kirinyaga court has ordered police officers attached to Wanguru Police Station to detain a 24-year-old for ten days to probe the murder case involving his lover.
- 25 Mar 2025 - A police post in Mwea-West sub-county, Kirinyaga County, has been closed, and six officers stationed there have been transferred due to unresolved rent arrears.
- 25 Mar 2025 - Former MP Wilson Sossion has praised President William Ruto’s creation of seven new Principal Secretary (PS) positions which has sparked concerns about the growing size of the Kenya Kwanza government and the heavy cost it places on taxpayers.
- 25 Mar 2025 - School programs at Koiyet Secondary School in Bomet County were paralyzed on Monday morning after a student gave birth in the toilet.
- 25 Mar 2025 - Eleven directors of Nairobi Hospital have been granted anticipatory bail of Ksh.100,000 each by the High Court, shielding them from immediate arrest or detention.
- 25 Mar 2025 - Irungu Nyakera said Waititu's case was politically motivated.
- 25 Mar 2025 - Some sitting MPs are currently serving as constituency chairpersons.