- 1,151 views
Wanyamapori Ni Mojawapo Ya Rasilimali Kubwa Ya Kenya Na Ambao Pia Huchangia Mapato Ya Taifa. Hata Hivyo, Wanyama Hao Wako Katika Hatari Ya Kutoweka Kutokana Na Ongezeko La Idadi Ya Watu Na Ushindani Wa Raslimali Zilizoko. Pia Uwindaji Haramu Unaathiri Baadhi Ya Wanyama Hao Katika Semehu Mbalimbali Nchini. Hata Hivyo, Sensa Ya Wanyamapori Imekuwa Zoezi Muhimu La Kufuatilia Idadi Ya Wanyama Hao Ili Kubuni Mikakati Ya Kuwalinda Na Kuwahifadhi. Mwandishi Wetu, Emily Chebet, Aliandamana Na Wataalamu Katika Hifadhi Ya Lewa Wakati Wa Zoezi La Kila Mwaka La Sensa Na Kutuandalia Taarifa Ifuatayo.
Wahifadhi, wanasayansi na walinzi wahesabu wanyamapori Lewa
- 25 Mar 2025 - Shabiki.com made a significant impact in Tiaty Constituency, Baringo County, by donating 10,000-litre water tanks to various schools in the region.
- 25 Mar 2025 - The trial of Cholo Abdi Abdullah, a Kenyan national convicted of planning a 9/11-style attack in the United States, has been postponed to April 7, 2025, following his request for new lawyers.
- 25 Mar 2025 - Former Jubilee Secretary General Raphael Tuju wants the Ethics and Anti-corruption Commission (EACC) to probe Supreme Court judges over misconduct and unethical behaviour.
- 25 Mar 2025 - About 100 "young criminals" surrendered to police authorities in Likoni, Mombasa County on Monday.
- 25 Mar 2025 - About 100 "young criminals" surrendered to police authorities in Likoni, Mombasa County on Monday.
- 25 Mar 2025 - Kidnapped from his family as an infant, then raised by a drug lord before ending up in a Colombian zoo, Yoko the chimpanzee has lived the last two years of his life alone.
- 25 Mar 2025 - A Kirinyaga court has ordered police officers attached to Wanguru Police Station to detain a 24-year-old for ten days to probe the murder case involving his lover.
- 25 Mar 2025 - Adelle’s focus is on creating spaces where women, especially those from vulnerable communities, can share their stories.
- 25 Mar 2025 - This followed concerns some of those in the unit could be having trauma-related challenges, which need immediate attention.
- 25 Mar 2025 - They don’t use harmful chemicals or fertilisers, they use biopesticides and harvest water.