- 20 views
Viongozi katika kaunti ya Baringo wametoa wito wa kutokomezwa kwa wizi wa mifugo kwenye eneo hilo siku moja baada ya chifu mmoja kuuawa huko Chebilat katika eneobunge la Tiaty. Wakizungumza wakati wa hafla ya maombi ya madhehebu mbalimbali huko Chemolingot, hafla iliyohudhuriwa na mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei, viongozi hao walitaka kuwepo na amani kwenye maeneo yaliyopigwa na wimbi la wizi wa mifugo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Viongozi Baringo wataka wizi wa mifugo kutokomezwa baada ya chifu kuuawa na majambazi
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 29 Mar 2025 - Police have arrested three suspects alleged to be behind the brutal murder of a 17-year-old girl, Gaala Aden Abdi, in Wajir for refusing to be married off to a 55-year-old man.
- 29 Mar 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has called upon Kenyans to unite and build the nation.
- 29 Mar 2025 - Apollo, 70, was hacked to death by the assailants.
- 29 Mar 2025 - The move is set to rank Nairobi even higher globally and expand opportunities for the capital city.
- 29 Mar 2025 - Oily skin is characterised by an overproduction of sebum (the skin's natural oil).
- 29 Mar 2025 - NACADA officers arrest two suspects in Nanyuki, Laikipia County during a crackdown on shisha sale, seize 10 shisha pots, 16 flavor boxes, and assorted paraphernalia.
- 29 Mar 2025 - This comes as Kenya seeks to encourage more companies to invest in the country.
- 29 Mar 2025 - Sakaja emphasised the need for leaders to listen to the concerns raised by the youth.
- 29 Mar 2025 - The newly appointed Health Cabinet Secretary, Aden Duale, has constituted a committee to help scrutinise and determine the legitimacy of pending bills owed to hospitals by the now-defunct National Health Insurance Fund (NHIF). Through a special gazette…
- 29 Mar 2025 - The former DP says General Kahariri’s comments were in breach of the military code of conduct.