- 70 views
Viongozi wa kisiasa, kidini na wananchi, wametoa wito kwa vyombo vya usalama kuharakisha uchunguzi na kuwafungulia mashtaka washukiwa wa mauaji ya Lucy Wamaitha. Lucy Wamaitha mwenye umri wa miaka 32 ambaye alikuwa akifanya kazi katika shirika moja lisilo la serikali katika kaunti ya Kiambu, alitoweka mnamo Januari 16 mwaka huu akiwa kwenye ziara ya kikazi akiambatana na mkubwa wake kazini. Inadaiwa alitoa taarifa kuhusu matumizi mabaya ya fedha katika shirika hilo. Sehemu za mwili wake zilipatikana baadaye kwenye mfuko zikiwa zimetupwa katika mto Sagana.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yatakiwa kuwawajibisha wauaji wa Lucy Wamaitha
- - Kids on the block ››
- - Duniani Leo ››
- 29 Mar 2025 - Police in Kwale County have arrested 120 suspects linked to the machete-wielding criminal gang known as "panga boys," who have been terrorizing residents in Diani, following a week-long operation.
- 29 Mar 2025 - Two middle-aged men have been sentenced to 30 years imprisonment each for sodomising a 16-year-old boy in Kericho County in 2023.
- 29 Mar 2025 - A powerful earthquake of magnitude 7.7 centred in the Sagaing region near the Myanmar city of Mandalay caused extensive damage in that country and also shook neighbouring Thailand on Friday.
- 29 Mar 2025 - International aid began to arrive in Myanmar on Saturday as rescuers searched for survivors after a powerful earthquake devastated the Southeast Asian nation amid concerns the number killed would soar.
- 29 Mar 2025 - The ranking comes at a time when the Embakasi East MP is eyeing the Nairobi governor's seat.
- 29 Mar 2025 - The suspects were booked at Nanyuki Police Station pending further investigations.
- 29 Mar 2025 - The UN's World Food Programme warned Friday of an "unprecedented crisis" as it faces a 40 percent drop in funding this year, risking life-saving aid for 58 million people.
- 29 Mar 2025 - Ambassador Juma Mwapachu's legacy of service and dedication will be remembered by the East African community.
- » As femicide claims national heroes too, men's 'Safisha Rada' movement challenges culture of silence29 Mar 2025 - From social media joke to national movement, the Men's Conference transforms to confront epidemic of violence.
- 29 Mar 2025 - Some motorists say they have been in traffic since 11pm on Friday.