- 676 views
Baadhi ya wanasiasa katika chama cha ODM wametoa changamoto kwa aliyekuwa waziri wa utumishi wa umma Justin Muturi, kuwasilisha ushahidi wake dhidi ya serikali kwa idara ya DCI na tume ya maadili na kupambana na ufisadi kwa uchunguzi. Wakiongozwa na naibu kiongozi wa chama hicho ambaye pia ni gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Nassir, viongozi hao walitaja madai ya Muturi kuwa ya 'aibu na kejeli' wakisema alipokuwa serikalini, alikuwa mwenye kusifia utawala wa Kenya Kwanza. Muturi, ambaye alihudumu kama mwanasheria mkuu katika serikali ya Kenya Kwanza , amekuwa akiishtumu serikali kwa matumizi mabaya ya f
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Baadhi ya Wabunge wa ODM wataka Muturi athibitishe madai ya ufisadi serikalini
- 7 Apr 2025 - Government Spokesperson Isaac Mwaura believes powerful individuals are using social media to engineer coups in Africa.
- 7 Apr 2025 - United Kingdom Defence Secretary John Healey on Monday met the family of Agnes Wanjiru, who was killed in Nanyuki in 2012.
- 7 Apr 2025 - King Charles III arrives in Italy on Monday for a four-day visit where he will become the first UK monarch to address Italy's joint parliament, but will not meet Pope Francis due to the pontiff's health issues.
- 7 Apr 2025 - Due to the debt burden being a concern for the government, it has pushed the domestic revenues to generate more to cater for loan repayment.
- 7 Apr 2025 - MCK emphasised its commitment to offering journalism and communication students practical work experience
- 7 Apr 2025 - The convict had been working as a police officer when he committed the crime.
- 7 Apr 2025 - The Ministry of Health on Monday launched the newly-formed NHIF Pending Medical Claims Verification Committee and Secretariat formed on March 30.
- 7 Apr 2025 - Wamuchomba spoke after presenting herself at Kiambu Police Station.
- 7 Apr 2025 - Culprits have up to April 30 to clear outstanding arrears or face prosecution
- 7 Apr 2025 - The institution has been facing financial challenges and has been unable to pay salaries