Skip to main content
Skip to main content

Vijana Nyeri waitaka IEBC kupeleka vituo vya usajili mashinani

  • | Citizen TV
    280 views
    Duration: 1:25
    ‎Kundi moja la vijana katika kaunti ya Nyeri linaitaka tume ya uchaguzi nchini IEBC kupeleka huduma za usajili karibu na wananchi likisema zoezi hilo halijaweza kuwafikia watu wengi haswa walio vijijini. ‎