Skip to main content
Skip to main content

Samia Suluhu: Walipotusifu tumepokea sifa lakini maagizo ya kutuelekeza cha kufanya, tumeyakataa.

  • | KBC Video
    174 views
    Duration: 2:06
    Samia Suluhu: Kama alivyowahi kusema hayati Benjamin Mkapa, "Nawashukuru watazamaji wa kimataifa kuja kushuhudia uchaguzi wetu, walipotusifu tumepokea sifa hizo kwa unyenyekevu mkubwa, tumesikia pia waliodhani hayakwenda sawa na mengine hata sisi wenyewe tumeyaona. Maagizo ya kutuelekeza nini cha kufanya, tumeyakataa. Ushauri wao tutauzingatia ili tufanye vizuri zaidi siku zijazo." Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive