Skip to main content
Skip to main content

Wachunguzi wa ufisadi na ulanguzi wa pesa wakutana Nairobi kuangazia mikakati ya kukomesha ufisadi

  • | Citizen TV
    312 views
    Duration: 5:23
    Tume ya kupambana na ufisadi pamoja na washikadau wengine wa uchunguzi kutoka Afrika Mashariki na Kusini, wanakutana hapa jijini Nairobiutoka Afrika Mashariki na Kusini, kuangazia mikakati ya kukomesha ufisadi na hasa ulanguzi wa pesa.