Skip to main content
Skip to main content

Makala ya 25 ya biashara ndogo na kati za Afrika Mashariki yafanyika kwenye bustani ya Uhuru

  • | Citizen TV
    144 views
    Duration: 7:07
    Sasa tuelkee kwenye bustani ya Uhuru ambapo maonyesho ya biashara ndogo na za kati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki makala ya 25 yanaendelea. Rais William Ruto anatarajiwa kufungua rasmi hafla hiyo ya siku tatu na sasa tunajiunga na mwandishi wetu wa biashara