Skip to main content
Skip to main content

Kampeni za Uchaguzi wa eneobunge la Malava kaunti ya Kakamega zashika kasi

  • | Citizen TV
    1,336 views
    Duration: 1:26
    Kampeni za Uchaguzi wa eneobunge la Malava kaunti ya Kakamega zimeshika kasi. Wajumbe wa Kenya kwanza wakiongozwa na msaidizi wa rais Farouk Kibet walikita kambi eneo la Manda Shivanga kumpigia debe mgombea wa ubunge wa Malava kwa tikiti ya UDA David Ndakwa.