Skip to main content
Skip to main content

Upinzani umeahidi kuwa na umoja kabla ya uchaguzi wa mwaka 2027

  • | KBC Video
    199 views
    Duration: 2:00
    Upinzani umeahidi kuendelea kuwa na umoja kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 na chaguzi ndogo za tarehe 27 mwezi huu. Viongozi hao ambao walijumuisha Rigathi Gachagua wa chama cha DCP, Kalonzo Musyoka wa Wiper na Eugene Wamalwa wa DAP-Kenya, walisema wataamua kiongozi atakayepeperusha bendera ya upinzani kwenye kinyang'anyiro cha Urais. Walizungumza wakati wa mazishi ya Terry Kariuki, ambaye ni mjane wa marehemu mwanasiasa JM Kariuki katika kaunti ya Nakuru. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive