Skip to main content
Skip to main content

Walimu katika kaunti ya Bungoma wapinga kuhamishiwa SHA

  • | Citizen TV
    194 views
    Duration: 1:25
    Chama cha walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya kati tawi la Bungoma, kinapinga uamuzi wa serikali wa kuwahamisha walimu kutoka bima ya afya ya AON Minet hadi kwenye mpango mpya wa SHA.